/* That's all, stop editing! Happy blogging. */

Diamond aonyesha mjengo wake mpya siku ya birthday yake ( VIDEO) Hakuna Msaani Mwenye Jengo Kama Lake


Msanii wa muziki wa kizazi kipya na C.E.O wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ameweza kuonyesha nyumba yake mpya jioni ya leo ikiwa ni siku ake ya kuzaliwa. Msanii alikuwa kwenye show yake nchini Zambia hivyo baada ya kurejea ameweza kutumia akauti yake ya instagram kupitia insta stori kutuonyesha nyumba yake mpya akiwa na wasanii wenzake wa WCB.

Hii inaelezwa kuwa ni majibu kwa aliyekuwa mwanamke wake Zari baada ya kuposti ujumbe uliozua gumzo akiwa anamtakiwa kheri katika siku yake ya kuzaliwa,kwa kupost picha inayoonyesha watoto wake wawili Tiffa pamoja na nillan huku akiandika ” happy birthday mwenye vikima vyake” Hivyo wengi wandai kuwa hayo ndio majibu ya diamond kwa mama watoto wake wa zamani Zari.



Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Hatimaye Rich Mavoko Afunguka Ya moyoni Kuhusu uhusiano wake na Diamond


Msanii wa muziki Bongo, Rich Mavoko amesema hana tatizo lolote na Diamond Platnumz licha ya kuondoka kwenye lebo ya WCB.

Muimbaji huyo kwenye Mahojiano na The Playlist ya Times FM amesema kilichotokea kati yake na lebo hiyo sio ugomvi bali ulifika mwisho wa biashara yao, hivyo sasa wapo vizuri pamoja na uongozi mzima wa lebo hiyo.

Katika hatua hatua nyingine Rich Mavoko amesema kuwa maneno yanayosikika mwanzoni kwenye video ya wimbo Ndegele hayawahusu WCB kwani walikuwa wanataka tu kuvuta attention ya mashabiki ila kuhusu kuwa ni diss kwa lebo sio kusudio lao kabisa.

Mwaka 2016 Rich Mavoko ndo alijiunga na WCB, wimbo wake wa kwanza kutoa chini ya lebo hiyo unakwenda kwa jina la Ibaki Stori, kisha Kokoro na nyinginezo, pia ameweza kufanya kazi na wasanii wengine nje ya WCB kama Fid Q, Stereo, Nay wa Mitego, Lulu Diva na wengine

Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Diamond Platnumz Atowa Sababu za Kupeleka Wasafi Festival Kenya


Baada ya kimya kirefu kuhusu ratiba ya tamasha la Wasafi Festival, hatimaye Diamond Platnumz na uongozi wake wameanza kutoa dondoo za tamasha hilo ambapo ratiba inaonesha litahitimishwa nchini Kenya Desemba 31, 2018 .

Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram amedai kuwa, tamasha hilo litahusisha nchi zaidi ya moja na kuahidi kutoa ratiba muda mfupi ujao.

“KENYA!!! KENYA!!!! Jus to let you know that, Ikitokea Tanzania na nchi zitazotajwa tareh 31 DEC #WasafiFestival 2018 itakuwa inahitimishiwa Jijini #NAIROBI 🔥🔥🔥... TANZANIA!!!! najua mnashauku kubwa😊.... kaa hapa hapa na mimi details zenu zaja✋🏻 #SanaaImezaliwaUpya #WCB4LIFE"

Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Njia rahisi ya kuzisoma meseji za WhatsApp za mpenzi wako bila yeye kujua Soma Hapa




Suala la uaminifu katika uhusiano ni jambo la msingi sana kwani ni miongoni mwa nguzo imara katika kuwa na uhusiano imara kati yako na yule umpendae. Mara nyingi watu wanapokuwa na wapenzi wao huchukua simu zao na kuanza kuangalia alivyokuwa anawasiliana na watu mbalimbali.

Katika hali hiyo, anapokuta ujumbe ambapo unamfanya kuwa na wasiwasi basi ugomvi wake unaweza usizuilike kama utakuwa huna maelezo yenye kina ya kumtuliza.

Lakini mbali na kuwa unakagua simu yake mara kwa mara njia nyingine unayoweza kuitumia kuona jumbe zake anazotumiana na watu mbalimbali pengine bila ya yeye kujua ni rahisi. Unaweza ukatumia WhatsApp Web kufanikisha jambo hilo.

Ili kuweza kufanikisha hili unahitaji kompyuta (Laptop, desktop) au tablet pamoja na simu ya mpenzi wako au mtu mwingine unayotaka kuona jumbe zake za whatsapp.

Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Unachotakiwa kufanya ni kufungua tovuti ya web.whatsapp.com kwenye kifaa chako (kompyuta au tablet) na kisha utaona ‘QR Code’ kama viboksi boksi kwenye kifaa chako. Hatua inayofuata bonyeza ‘option’ kwenye simu unayotaka kuona jumbe zake kisha chagua ‘WhatsApp Web’ na ukimaliza hakikisha kiboksi kinachoonekana kwenye kioo cha simu yako unakielekeza kwenye ‘QR Code’ katika kompyuta yako (scan the code).



Ukimaliza hapo mawasiliano yote yaliyofanyika katika simu uliyotumia ku-‘scan’ sasa yataonekana kwenye kifaa chako.

Ili WhatsApp Web uweze kuendelea kufanyakazi, ni lazima simu inayotumika iwe imeunganishwa na mtandao (internet) wakati wote.

Je, mwenye simu anaweza kujua kama unanona meseji zake?

Mwenye simu ataweza kujua kuwa simu yake imeunganishwa na WhatsApp Web au kuna mtu amesoma meseji zake endapo atataka kuiunganisha kwenye kifaa kingine sababu itamtaka ajitoa (log out) katika kifaa cha awali, hivyo kama si yeye aliiunga atajua kuna mtu mwingine alikuwa akimfuatilia.

Pia, atajua kuna mtu anaona na kusoma meseji zake kama wewe utakuwa unazifungua kabla yeye hajazifungia. Hakikisha haufungia majibizano (conversation) kabla ya mwenye simu hajafungua kama kuna ujumbe mpya au kutuma ujumbe kwa rafiki yake.

Njia hii inaweza kufanyakazi hata kama mwenye simu atakuwa mbali, kikubwa tu awe ameunganishwa na mtandao kwenye simu yake.

Jinsi ya kuondoa.

Ukitaka kuondoa usione tena jumbe zake, kuna vinukta vitatu upande wa kushoto kwenye kifaa chako, ikobofya itakuletea uchaguzi wa kutoka (log out) na ukibofya hapo utakuwa umejiondoa kufuatilia jumbe zake.

Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Njia rahisi ya kuzisoma meseji za WhatsApp za mpenzi wako bila yeye kujua




Suala la uaminifu katika uhusiano ni jambo la msingi sana kwani ni miongoni mwa nguzo imara katika kuwa na uhusiano imara kati yako na yule umpendae. Mara nyingi watu wanapokuwa na wapenzi wao huchukua simu zao na kuanza kuangalia alivyokuwa anawasiliana na watu mbalimbali.

Katika hali hiyo, anapokuta ujumbe ambapo unamfanya kuwa na wasiwasi basi ugomvi wake unaweza usizuilike kama utakuwa huna maelezo yenye kina ya kumtuliza.

Lakini mbali na kuwa unakagua simu yake mara kwa mara njia nyingine unayoweza kuitumia kuona jumbe zake anazotumiana na watu mbalimbali pengine bila ya yeye kujua ni rahisi. Unaweza ukatumia WhatsApp Web kufanikisha jambo hilo.

Ili kuweza kufanikisha hili unahitaji kompyuta (Laptop, desktop) au tablet pamoja na simu ya mpenzi wako au mtu mwingine unayotaka kuona jumbe zake za whatsapp.

Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Unachotakiwa kufanya ni kufungua tovuti ya web.whatsapp.com kwenye kifaa chako (kompyuta au tablet) na kisha utaona ‘QR Code’ kama viboksi boksi kwenye kifaa chako. Hatua inayofuata bonyeza ‘option’ kwenye simu unayotaka kuona jumbe zake kisha chagua ‘WhatsApp Web’ na ukimaliza hakikisha kiboksi kinachoonekana kwenye kioo cha simu yako unakielekeza kwenye ‘QR Code’ katika kompyuta yako (scan the code).



Ukimaliza hapo mawasiliano yote yaliyofanyika katika simu uliyotumia ku-‘scan’ sasa yataonekana kwenye kifaa chako.

Ili WhatsApp Web uweze kuendelea kufanyakazi, ni lazima simu inayotumika iwe imeunganishwa na mtandao (internet) wakati wote.

Je, mwenye simu anaweza kujua kama unanona meseji zake?

Mwenye simu ataweza kujua kuwa simu yake imeunganishwa na WhatsApp Web au kuna mtu amesoma meseji zake endapo atataka kuiunganisha kwenye kifaa kingine sababu itamtaka ajitoa (log out) katika kifaa cha awali, hivyo kama si yeye aliiunga atajua kuna mtu mwingine alikuwa akimfuatilia.

Pia, atajua kuna mtu anaona na kusoma meseji zake kama wewe utakuwa unazifungua kabla yeye hajazifungia. Hakikisha haufungia majibizano (conversation) kabla ya mwenye simu hajafungua kama kuna ujumbe mpya au kutuma ujumbe kwa rafiki yake.

Njia hii inaweza kufanyakazi hata kama mwenye simu atakuwa mbali, kikubwa tu awe ameunganishwa na mtandao kwenye simu yake.

Jinsi ya kuondoa.

Ukitaka kuondoa usione tena jumbe zake, kuna vinukta vitatu upande wa kushoto kwenye kifaa chako, ikobofya itakuletea uchaguzi wa kutoka (log out) na ukibofya hapo utakuwa umejiondoa kufuatilia jumbe zake.

Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Alikiba aamsha mzuka wa mashabiki wake baada ya kutangaza ujio wa ngoma mpya


Msanii wa muziki, Alikiba ametangaza rasmi ujio wake mpya baada ya ukimya wa muda mrefu hasa hasa baada ya kujiingiza kwenye michezo.

Muimbaji huyo ametangaza kwamba ataachia wimbo ‘Hela’ hatua ambayo imeamsha hisia kwa mashabiki wake ambao walikuwa wanamsubiria kwa hamu.

Kiba ambaye kwa sasa ni mmoja kati ya wadhamini wa timu ya Coastal Union kutoka Tanga inayoshiriki ligu Kuu ya soka Tanzania Bara (TPL), ameonekana kutumia muda wake mwingi kwenye soka kuliko kwenye muziki ambao umemtambulisha.

Mashabiki wengi kupitia mitandao ya kijamii wameonekana kufurahishwa na kitendo hicho huku wengine wakitaka muimbaji huyo kuachia kazi hiyo mara moja.

Hata hivyo muimbaji huyo hajaweka wazi ni lini ataachia kazi hiyo inayosubiriwa kwa hamu ya mashabiki wa muziki.

Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Lulu kuvishwa pete na Majizo “Lulu kafanyiwa Surprise, ilikuwa sherehe ilikuwa ya watoto”


Usiku wa Sepetember 30, 2018 muigizaji mkongwe Elizabeth Michael maarufu kama Lulu alivishwa pete ya uchumba na mpenzi wake Majizo, tukio la uvishwaji pete hiyo lilikuwa surprise kwenye moja ya sherehe ambayo inasemekana aliiandaa Majizo.
Sasa baada ya tukio hilo ambalo lilisambaa kwa muda mfupi kwenye mitandao ya kijamii Ayo TV na millardayo.com zikamtafuta Stan Bakora aliyekuwa miongoni mwa watu waliokuwa wamealikwa kwenye shughuli hiyo, Stan ameelezea haya kuhusu tukio hilo.
Bonyeza PLAY hapa chini kutazama
Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA



VIDEO: Nipo tayari kuolewa na Diamond, hata mume wangu anajua – Official Lynn



Video Queen maarufu nchini Tanzania, Lynn amesema kuwa yupo tayari kuolewa na msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na hata mumewe anajua hilo.
Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA


hapa



Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

Habari Njema Kwa Mashabiki Wa Kafulila...Mahakama Watoa Maamuzi Aya Soma Zaidi Hapa


MAHAKAMA Kuu Kanda ya Tabora Chini ya Jaji Sam Rumanyika jana Januari 14, 2016 imetupilia mbali mapingamizi ya Wakili wa serikali yaliyowasilishwa na kujadiliwa Januari 11, 2015 katika mahakama hiyo.

Katika mapingamizi ya serikali Wakili wa serikali kwa niaba ya msimamizi wa uchaguzi na Mwanasheria wa serikali aliweka mapingamizi na kutaka mahakama itupilie mbali kesi ya Kafulila David kwa madai kwamba;

  1.  Hati ya mashtaka haina vifungu vya sheria vinavyoipa mahakama mamlaka ya kusikiliza kesi hii
  2.  Ombi la Kafulila kutangazwa mshindi halimo ndani ya uwezo Wa mahakama kwakuwa mamlaka hayo ni ya Tume ya uchaguzi
  3.  Kwamba ombi la Kafulila kwamba mahakama ipitie fomu za matokeo haitambuliki kisheria

Katika uamuzi wa MAHAKAMA, Jaji Rumanyika amesema baada ya kusikiliza na kuchambua mapingamizi na utetezi wa Wakili wa Kafulila imeamua kuwa;

  1.  Hoja kwamba hati ya mashtaka haina au haijaweka sheria I nayoipa mamlaka mahakama kusikiliza na kuamua KESI hii haina msingi kwakuwa kwanza kesi ya uchaguzi sio sawa na maombi ya kawaida na zaidi sheria ya uchaguzi ya 2015, kifungu110 kimesisitiza wazi kuwa mahakama kuu ndio yenye mamlaka ya kusikiliza kesi za uchaguzi na hivyo haikuwa na ulazima kutaja ukweli ulio hayana.
  2.  Hoja kwamba mahakama haina uwezo wa kutangaza mshindi haina msingi kwasababu sheria ya uchaguzi ya 2015 kifungu112 kimeweka wazi mamlaka ya mahakama kuwa ni pamoja na kutangaza mshindi alochaguliwa na hivyo Kafulila Ana haki kuomba ombi hilo.
  3.  Kuhusu pingamizi kuwa ombi la Kafulila la kuomba kupitiwa fomu 21B za kila kituo, MAHAKAMA imelekeza kuwa dhana ya ombi hilo inamezwa na ombi la kutangazwa mshindi hivyo halina sababu kuwepo

Baada ya maelekezo na maelezo hayo, Mahakama haioni sababu ya kufuta kesi ya Kafulila David Kama ilivyombwa na wakili wa serikali na badala yake Kesi itaendelea Januari 28, 2015.

Hii Ndio Barua Ya Maalim Seif Sharif Hamad Aliyo Muandikia Papa Francis Kuhusu Mzozo wa Zazibar Soma Hapa

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, amemwangukia Papa Francis kwa kumwandikia barua, akimuomba kutumia ushawishi wake na Tanzania kumaliza mzozo wa kisiasa kisiwani humo kabla hali haijawa mbaya.

Kwa mujibu wa barua yake ya Novemba 25, mwaka jana, Maalim Seif alimwomba Papa kutumia ushawishi alionao kwa serikali ya Tanzania ili kuhakikisha haki inatendeka na kuepusha vurugu zinazoweza kutokea.

“Ni wiki tatu sasa tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu na hali hii imesababisha kusimama kwa baadhi ya shughuli za kuichumi kutokana na wananchi wengi kuwa na hofu kuhusu mustakabali wa hali hii….watu wanashindwa kujua nini kitatokea maana wana hofu kwamba hali hii inaweza kuharibu umoja wa kitaifa kwa watu kuishi kwa upendo bila kujali dini wala kabila,” ilisema barua hiyo.

Barua hiyo ya Maalim Seif ilisema, Zanzibar ina mchanganyiko wa Waislamu na Wakristo, hivyo hakuna mgawanyiko kwa misingi ya udini lakini hatua ya wananchi kukosa haki yao ya kidemokrasia kupitia sanduku la kura baada ya miaka 20 ya chaguzi visiwani humo kunaweza kusababisha vijana ambao hawafurahishwi na mwenendo huo kutumia njia mbaya kutafuta haki yao.

“Badala ya kuchukua hatua za pamoja kuzuia uovu huu, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo chama chake kilishinda kwenye uchaguzi mkuu uliopita, imekuwa ikisaidia serikali ya Zanzibar kwa kutumia askari na majeshi yake  kutishia watu wa upinzani,”ilisema.

“Wakati mmishenari wa kikristu alipomuomba Sultan  wa Zanzibar  mwaka  1840  kibali cha  kujenga asasi ya kusaidia jamii kwenye eneo lake, Sultani yule ambaye alikuwa Muislamu alimtambua kama mtumishi wa Mungu aliyekuwa na lengo la kuendeleza neno la Mungu” ilisema sehemu ya barua hiyo kwenda kwa Papa.

Iliongeza kuwa, Zanzibar  ilipopata Uhuru wake mwaka 1963, kwa kiwango kikubwa watu wake waliishi kwa amani na ushirikiano baina ya watu wa madhehebu yote ya Katoliki, Anglikana, Sunni, Shia  na Hindu na hakukuwahi kuwa na mgogoro wala hofu ya watu hao kuhitilafiana kwa misingi ya tofauti ya dini.

Ilisema Chama cha Wananchi CUF kimekuwa kikishinda chaguzi zote tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995, lakini haijawahi kupewa ushindi wake hata muhula mmoja.

Wafanyabiashara Wapuuza Agizo la Siku 7 Lililotolewa na Rais Magufuli........ Kamanda Kova Atangaza Zawadi Nono Ya Mamilioni Kwa Atakayemdaka Mfanyabiashara Huyu


Makampuni 26 yamekaidi agizo la Rais John Magufuli lililowataka wafanyabiashara wote waliokwepa kodi kwenye Makontena 326 yaliobainika kupotea bandarini walipe kodi ndani siku saba.

Hata hivyo ni Makampuni 6  tu ndio yaliyotii agizo la Magufuli baada ya kulipa kodi iliyokadiliwakuwa  pamoja na faini.

Vilevile Makampuni 16 yamelipa kodi  nusu tu tofauti na ile iliyokadiliwa,ambapo  jana ndo ilikuwa siku ya mwisho toka siku aliyosema  Rais Magufuli kuwa ndani ya siku saba wawe wamelipa kodi hizo. Kodi iliyolipwa na makampuni haya 22 ni 
10,075,979,462.08

Akizungumza na waandishi wa habari jana Mchana kwenye Makao ya jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Meneja wa Huduma na elimu kwa mlipa kodi kutoka wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Diana Masalla alisema  mpaka jana saa kumi jioni ni makampuni sita tu ndio yaliyolipa kodi hiyo huku mengine 16 yakilipa nusu ya madai ya kodi na Makampuni 26 yakishindwa kulipa kodi iliyotakiwa pamoja nafaini ya kukwepa kodi.
 
“Agizo la Rais Magufuli mwisho wake ni leo( jana) saa kumi jioni,lakini wafanyabiashara hao waliotorosha makontena yao  wamekaidi agizo hilo. Sisi TRA hatuna kingine cha kufanya, tunaiacha sheria ichukue mkondo wake,” alisema Bi Massala.
 
Bi Masalla aliwasisitiza wananchi wote watoe taarifa kuhusu vitendo vya ukwepaji kodi kutumia namba 0784210209. Pia taarifa za mwenendo wa wafanyakazi wa TRA Wasio waadilifu zitolewe kupitia simu namba 0689 122515 na ujumbe mfupi 0689 122516..

Naye Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamisha Kova aliwaambia wanahabari kuwa Jeshi la Polisi linamtafuta  Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya REGIONAL CARGO SERVICES LTD,ABDULKADIR S/O KASSIM ABDI, Miaka 38, Mkazi wa Temeke Mikoroshini ambaye anatuhumiwa kwa kutoa makontena 329 kwenye bandari kavu ya AZAM (AZAM ICD) bila kulipia kodi .

Kamishna Kova alidai kuwa anayetafutwa na jeshi hilo pia ni mmoja wa wakurugenzi wa kampuni za “JAS EXPRESS FREIGHT LTD” na “XL CLEARING AND FOWARDING Co. LTD” ambazo zote zilitumika kutoa makontena hayo.
 
Alisema Mwananchi atakayefanikisha kukamatwa kwa mtu huyo (pichani)  atapewa zawadi nono ya milioni 20.

Alisema Jeshi la polisi pia linawashikilia watuhumiwa 40 ambao wanahojiwa kwa tuhuma za kula njama na kuikosesha serikali mapato. 
  
Kamanda Kova alisema uchunguzi unafanywa kwa pamoja na maafisa wa Jeshi la Polisi na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kwa lengo la kubaini jinsi ambavyo makontena 329 na mengine 2489 yalivyotolewa bandarini kinyume cha taratibu.

Alisema kati ya watuhumiwa hao, watuhumiwa 26 ni watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na watumishi 03 wanatoka  Bandari kavu (ICD) YA AZAM  ambao wote kwa pamoja wanatuhumiwa kuhusika na upotevu wa makontena 329. Watuhumiwa 11 ambao ni watumishi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) wanatuhmiwa  kwa kuhusika na upotevu wa makontena 2489.

Kamisha Kova alisema uchunguzi unaoendelea pia unahusisha kupitia kumbukumbu mbalimbali na kadhia za forodha ili kubaini mtindo uliotumika na kuwabaini wote waliohusika katika mchakato huo. 
  
Makontena 329 yaligundulika kukosekana kwenye ICD ya AZAM kuanzia mwezi Julai hadi Novemba 2015, wakati  makontena  2489 yaligundulika kutolewa Bandarini kuanzia Mwezi Machi mpaka Septemba, Mwaka 2014   kinyume cha taratibu kwa lengo la kukwepa kodi na ushuru.

Older Posts
© Copyright BONGO CLASIC Published.. Blogger Templates
Back To Top