Msanii wa muziki wa kizazi kipya na C.E.O wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ameweza kuonyesha nyumba yake mpya jioni ya leo ikiwa ni siku ake ya kuzaliwa. Msanii alikuwa kwenye show yake nchini Zambia hivyo baada ya kurejea ameweza kutumia akauti yake...
Hatimaye Rich Mavoko Afunguka Ya moyoni Kuhusu uhusiano wake na Diamond

Msanii wa muziki Bongo, Rich Mavoko amesema hana tatizo lolote na Diamond Platnumz licha ya kuondoka kwenye lebo ya WCB.
Muimbaji huyo kwenye Mahojiano na The Playlist ya Times FM amesema kilichotokea kati yake na lebo hiyo sio ugomvi bali ulifika...
Filed Under:
WASANII
on Tuesday, 2 October 2018
Diamond Platnumz Atowa Sababu za Kupeleka Wasafi Festival Kenya

Baada ya kimya kirefu kuhusu ratiba ya tamasha la Wasafi Festival, hatimaye Diamond Platnumz na uongozi wake wameanza kutoa dondoo za tamasha hilo ambapo ratiba inaonesha litahitimishwa nchini Kenya Desemba 31, 2018 .
Diamond kupitia ukurasa...
on
Njia rahisi ya kuzisoma meseji za WhatsApp za mpenzi wako bila yeye kujua

Suala la uaminifu katika uhusiano ni jambo la msingi sana kwani ni miongoni mwa nguzo imara katika kuwa na uhusiano imara kati yako na yule umpendae. Mara nyingi watu wanapokuwa na wapenzi wao huchukua simu zao na kuanza kuangalia alivyokuwa anawasiliana...
on Monday, 1 October 2018
Alikiba aamsha mzuka wa mashabiki wake baada ya kutangaza ujio wa ngoma mpya

Msanii wa muziki, Alikiba ametangaza rasmi ujio wake mpya baada ya ukimya wa muda mrefu hasa hasa baada ya kujiingiza kwenye michezo.
Muimbaji huyo ametangaza kwamba ataachia wimbo ‘Hela’ hatua ambayo imeamsha hisia kwa mashabiki wake ambao walikuwa...
on
Lulu kuvishwa pete na Majizo “Lulu kafanyiwa Surprise, ilikuwa sherehe ilikuwa ya watoto”

Usiku wa Sepetember 30, 2018 muigizaji mkongwe Elizabeth Michael maarufu kama Lulu alivishwa pete ya uchumba na mpenzi wake Majizo, tukio la uvishwaji pete hiyo lilikuwa surprise kwenye moja ya sherehe ambayo inasemekana...
on
VIDEO: Nipo tayari kuolewa na Diamond, hata mume wangu anajua – Official Lynn

Video Queen maarufu nchini Tanzania, Lynn amesema kuwa yupo tayari kuolewa na msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na hata mumewe anajua hilo.
Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup...
on
Habari Njema Kwa Mashabiki Wa Kafulila...Mahakama Watoa Maamuzi Aya Soma Zaidi Hapa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Tabora Chini ya Jaji Sam Rumanyika jana Januari 14, 2016 imetupilia mbali mapingamizi ya Wakili wa serikali yaliyowasilishwa na kujadiliwa Januari 11, 2015 katika mahakama hiyo.Katika mapingamizi ya serikali Wakili wa serikali...
on Friday, 15 January 2016
Hii Ndio Barua Ya Maalim Seif Sharif Hamad Aliyo Muandikia Papa Francis Kuhusu Mzozo wa Zazibar Soma Hapa

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, amemwangukia Papa Francis kwa kumwandikia barua, akimuomba kutumia ushawishi wake na Tanzania kumaliza mzozo wa kisiasa kisiwani humo kabla hali haijawa mbaya.
Kwa mujibu wa barua yake...
Filed Under:
KITAIFA
on Thursday, 14 January 2016
Wafanyabiashara Wapuuza Agizo la Siku 7 Lililotolewa na Rais Magufuli........ Kamanda Kova Atangaza Zawadi Nono Ya Mamilioni Kwa Atakayemdaka Mfanyabiashara Huyu

Makampuni 26 yamekaidi agizo la Rais John Magufuli lililowataka wafanyabiashara wote waliokwepa kodi kwenye Makontena 326 yaliobainika kupotea bandarini walipe kodi ndani siku saba.
Hata hivyo ni Makampuni 6 tu ndio yaliyotii agizo la Magufuli...
Filed Under:
KITAIFA
on Saturday, 12 December 2015