/* That's all, stop editing! Happy blogging. */

Diamond Platnumz Atowa Sababu za Kupeleka Wasafi Festival Kenya


Baada ya kimya kirefu kuhusu ratiba ya tamasha la Wasafi Festival, hatimaye Diamond Platnumz na uongozi wake wameanza kutoa dondoo za tamasha hilo ambapo ratiba inaonesha litahitimishwa nchini Kenya Desemba 31, 2018 .

Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram amedai kuwa, tamasha hilo litahusisha nchi zaidi ya moja na kuahidi kutoa ratiba muda mfupi ujao.

“KENYA!!! KENYA!!!! Jus to let you know that, Ikitokea Tanzania na nchi zitazotajwa tareh 31 DEC #WasafiFestival 2018 itakuwa inahitimishiwa Jijini #NAIROBI 🔥🔥🔥... TANZANIA!!!! najua mnashauku kubwa😊.... kaa hapa hapa na mimi details zenu zaja✋🏻 #SanaaImezaliwaUpya #WCB4LIFE"

Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA
Newer Posts Older Posts
© Copyright BONGO CLASIC Published.. Blogger Templates
Back To Top