/* That's all, stop editing! Happy blogging. */

Diamond aonyesha mjengo wake mpya siku ya birthday yake ( VIDEO) Hakuna Msaani Mwenye Jengo Kama Lake


Msanii wa muziki wa kizazi kipya na C.E.O wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ameweza kuonyesha nyumba yake mpya jioni ya leo ikiwa ni siku ake ya kuzaliwa. Msanii alikuwa kwenye show yake nchini Zambia hivyo baada ya kurejea ameweza kutumia akauti yake ya instagram kupitia insta stori kutuonyesha nyumba yake mpya akiwa na wasanii wenzake wa WCB.

Hii inaelezwa kuwa ni majibu kwa aliyekuwa mwanamke wake Zari baada ya kuposti ujumbe uliozua gumzo akiwa anamtakiwa kheri katika siku yake ya kuzaliwa,kwa kupost picha inayoonyesha watoto wake wawili Tiffa pamoja na nillan huku akiandika ” happy birthday mwenye vikima vyake” Hivyo wengi wandai kuwa hayo ndio majibu ya diamond kwa mama watoto wake wa zamani Zari.



Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA
Older Posts
© Copyright BONGO CLASIC Published.. Blogger Templates
Back To Top