/* That's all, stop editing! Happy blogging. */

Hii Ndio Listi Ya Marais Wanaongoza Kwa Kupendwa Afrika Unajua Magufuli Ni Wangapi Soma Hapa


Imethibitika katika uchunguzi uliofanya na taasisi moja inayojiushisha na tafiti mbalimbali imebainika kuwa rais wa Tanzania Mr. John Magufuli anaongoza katika bara la Afrika kuwa ni rais anaepedwa sana na raia wake kuliko rais yoyote barani humu.

Inasemekana rais huyu anakadiliwa na zaidi ya watu milion 35 ndani ya nchi yake pekee wanampenda toka moyoni kabisa , pia zaidi ya watu milion 4 mpaka 6 katika katika nchi za Kenya , na Uganda.

Pia imejumuisha na wale waishio nje ya bara hili, rais wa pili ni rais mpya wa Nigeria , Kagame kashika nafasi ya 3 akifatiwa na Zuma

Newer Posts Older Posts
© Copyright BONGO CLASIC Published.. Blogger Templates
Back To Top